Habari za Punde

Waziri Aboud Atembelea Ujenzi wa Nyumba za Maafa Tumbe na Jengo la Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Katika Eneo la Pangali Chakechake leo.

 
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Mkamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mohamed Aboud Mohamed, akitoa maelekezo kwa mratibwa kamisheni ya kukabiliana na Maafa Pemba na injinia wa ujezi wa nyumba za maafa Tumbe, wakati alipokuwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba hizo
MUONEKANO wa Nyumba ya makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais Pemba huko Pangali Wilaya ya Chake Chake Unavyoendelea kwa kasi, kama inavyoonekana katika Picha.
MUONEKANO wa Nyumba za maafa huko Tumbe zikiwa katika hatua za mwisho kukamilika kwake, il kukabidhwia serikali kwa ajili ya kufunguliwa rasmi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mohamed Aboud Mohamed, akikagua maendeleo ya ujenzi  wa nyumba ya Makamu wa Pili wa Rais huko Pagali Wilaya ya Chake Chake.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.