RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Wananchi wakati
akiyapokea Maandamano ya Maadhimisho ya sherehe za Miaka 57 ya Mapinduzi ya
Zanzibar, zilizofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Zanzibar na
kushirikisha Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar na Amsha Amsha Mapinduzi
VIJANA wa Chikupizi wakiongoza maandamano wakiwa
wamebeba picha za Viongozi Wakuu wa Serikali na Wastaaf wakati wa maandamano ya
Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakipita mbele ya mgeni Rasmin
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) yaliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.
VIJANA wa Chikupizi wakiongoza maandamano wakiwa
wamebeba picha za Viongozi Wakuu wa Serikali na Wastaaf wakati wa maandamano ya
Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakipita mbele ya mgeni Rasmin
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) yaliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya kuadhimisha Miaka
57 ya Mapinduzi ya Zanzibar yalioadhimishwa katika viwanja vya Mnazi mmoja
Jijini Zanzibar
VIJANA
Veterani wa Young Pioneer
wakitowa heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa Maadhimisho ya sherehe za
Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja
VIJANA wa Chipukuzi wakitowa heshima kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) wakati wa maandamano ya kuadhimisha Miaka 57 ya Mapinduzi ya
Zanzibar, yalioadhimishwa katika viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Zanzibar.
WANANCHI wa Zanzibar wakishiriki katika
Maandamano ya kuadhimisha sherehe za Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
zilizoadhimishwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
WANANCHI wa Zanzibar wakishiriki katika
Maandamano ya kuadhimisha sherehe za Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
zilizoadhimishwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
WANANCHI wa Zanzibar wakishiriki katika
Maandamano ya kuadhimisha sherehe za Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
zilizoadhimishwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
VIJANA wa Skauti wakitowa heshima kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo
pichani ) wakati wa Maadhimisho ya sherehe za Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
yaliowashirikisha Wananchi na Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar,
zilizofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.
ASKARI wa JWTZ wakishiriki katika Maandamano ya
Amsha amsha na Mapinduzi wakati wa Maadhimisho ya sherehe za Miaka 57 ya
Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja na
kupokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi katika viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Zanzibar.
ASKARI wa Kikosi cha KMKM wakishiriki katika
Maandamano ya Amsha Amsha na Mapinduzi wakipita mbele ya mgeni rasmin Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) maadhimisho hayo ya Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
yamefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
ASKARI wa Kikosi cha Chuo Cha Mafunzo wakishiriki
katika Maandamano ya Amsha Amsha na Mapinduzi wakipita mbele ya mgeni rasmin
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) maadhimisho hayo ya Miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar
yamefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
ASKARI wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Zanzibar
wakishiriki katika Maandamano ya Amsha Amsha na Mapinduzi wakipita mbele ya
mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) maadhimisho hayo ya Miaka 57 ya Mapinduzi
ya Zanzibar yamefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment