Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof.Florence luoga wakati alipowasili katika viwanja vya Hotel Verde Mtoni Jijini Zanzibar wakati wa Mafunzo kuhusu Majukumu ya Benki kuu ya Tanzania.na kujumuka katika futari maalum ilioandaliwa kwa Wajumbe.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akiwaongoza wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na wafanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT katika futari maalum ilioandaliwa na Benki hiyo mara baada ya kumalizika mafunzo maalum kuhusu Majukumu ya Benki hiyo iliofanyika Hotel Verde.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment