Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof.Florence luoga wakati alipowasili katika viwanja vya Hotel Verde Mtoni Jijini Zanzibar wakati wa Mafunzo kuhusu Majukumu ya Benki kuu ya Tanzania.na kujumuka katika futari maalum ilioandaliwa kwa Wajumbe.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akiwaongoza wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na wafanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT katika futari maalum ilioandaliwa na Benki hiyo mara baada ya kumalizika mafunzo maalum kuhusu Majukumu ya Benki hiyo iliofanyika Hotel Verde.
WAZIRI MKUU ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA DODOMA
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akipata maelezo kutoka kwa
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ibenzi Ernest
(kulia kwak...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment