Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof.Florence luoga wakati alipowasili katika viwanja vya Hotel Verde Mtoni Jijini Zanzibar wakati wa Mafunzo kuhusu Majukumu ya Benki kuu ya Tanzania.na kujumuka katika futari maalum ilioandaliwa kwa Wajumbe.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akiwaongoza wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na wafanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT katika futari maalum ilioandaliwa na Benki hiyo mara baada ya kumalizika mafunzo maalum kuhusu Majukumu ya Benki hiyo iliofanyika Hotel Verde.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment