RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akikabidhiwa Azimio la Halmashauri Kuu ya CCM Taifa la Kumpongeza kwa
Kazi Kubwa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM, akikabidhiwa na Katibu Mkuu wa
CCM Ndg.Daniel Godfrey Chongolo
alipofika Ikulu kwa mazungumzo na kujitambulishwa na Ujumbe wake mazungumzo
yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg. Daniel Godfrey Chongolo,
alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe wake
wa Viongozi wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg.Daniel Godfrey Chongolo (kulia
kwa Rais) alipofika jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe
wake wa Viongozi wa Jumuiya za CCM, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi
wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg.Daniel Godfrey Chongolo (kulia
kwa Rais) alipofika jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe
wake wa Viongozi wa Jumuiya za CCM, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi
wa Ikulu Zanzibar.
No comments:
Post a Comment