MKURUGENZI Mtendaji wa Kijana Hai Foundation Erick
Godfrey Ramsey, akitoa maelezo juu ya mradi wa Miliki Uwezo unaotekelezwa na
Kijana Hai Foundation, juu ya uwezeshaji wanawake kiuchumi kukuza usawa wa
kijinsia,kuondoa umaskini na kuendeleza Uchumi Shirikishi, hafla iliyofanyika
Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MKALIMANI wa Lugha za Alama Pemba Asha akitoa
maelezo kwa kutumia ishara ya alama, wanawake wenye ulemavu wa kutokusema
wakati wa Uzinduzi wa mradi wa Miliki Uwezo unaotekelezwa na Kijana Hai
Foundation.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud,
akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa Miliki Uwezo unaotekelezwa na Kijana
Hai Foundation, hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BALOZI wa Canada nchini Tanzania Pamela O’donnell
akizungumza na wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wakati wa uzinduzi wa
mradi wa Miliki Uwezo unaotekelezwa na Taasisi ya Kijana Hai Foundation, halfa
iliyofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment