Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
katika mazungumzo na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Mhe. Ursula von der
Leyen, Brussels nchini Ubelgiji leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
katika picha ya pamoja na Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Mhe. Ursula von
der Leyen, Brussels nchini Ubelgiji leo tarehe 18 Februari, 2022.
No comments:
Post a Comment