Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Mfalme wa Saudia Arabia, Mhe. Ahmed Abdulaziz Kattan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Machi, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Mfalme wa Saudia Arabia, Mhe. Ahmed Abdulazizi Kattan mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Machi, 2022
TUGHE yapongeza kiwango cha utendaji kazi cha PURA kwa mwaka 2024/25
-
Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Ndg. Amani Msuya ameeleza kuvutiwa na
kiwango cha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli
(PURA) kwa m...
2 hours ago

.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment