Habari za Punde

Naibu Waziri wa Elimu Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Atembelea Maomesho ya Vyuo Vya Amali Dodoma.

Naibu Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Mhe, Ali Abdulgulam  Hussein, akitia saini Kitabu cha Wageni cha Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakati alipotembelea Banda la Taasisi hiyo, katika Maonyesho ya Nactevet yanayoendelea Jijini Dodoma.
Naibu Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Mhe, Ali Abdulgulam  Hussein akizungumza  jambo, wakati alipotembelea Banda la Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), katika Maonyesho ya Nactevet yanayoendelea Jijini Dodoma.
Muwakilishi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), Ali M. Suleiman akitoa maelezo kwa Naibu Waziri  wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Mhe, Ali Abdulgulam  Hussein, wakati alipotembelea Banda la Taasisi hiyo, katika Maonyesho ya Nactevet yanayoendelea Jijini Dodoma.

Picha na Maryam Kidiko.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.