Habari za Punde

CRDB yaandaa mkutano na wadau wa Utalii Zanzibar

WASHIRIKI wa Wadau wa Utalii Zanzibar wakiwa katika mkutano huo uliandaliwa na benki ya CRDB na kufanyika katika Hoteli ya Golden tulip Uwanja wa ndege Zanzibar

WASHIRIKI wa Wadau wa Utalii Zanzibar wakiwa katika mkutano huo uliandaliwa na benki ya CRDB na kufanyika katika Hoteli ya Golden tulip Uwanja wa ndege Zanzibar

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakiwa katika mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Golden tulip Uwanja wa ndege Zanzibar
MENEJA wa Benki ya CRDB kanda ya Mashariki, Badru Idd akitoa maelezo kwa wadau wa utalii katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo na kufanyika katika hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar.


MKUU wa Kitengo cha Kadi katika Benki ya CRDB, Farid Seif akitoa maelezo ya ufunguzi katika mkutano wa wadau wa Utalii Zanzibar, katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo na kufanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar.


WAZIRI wa Utalii na mambo ya kale, Simai Mohammed Said akifungua mkutano wa wadau wa utalii na benki ya CRDB kuhusu malipo ya kielektroniki uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar

MENEJA Mwandamizi wa Biashara za malipo ya Kielektroniki katika Benki ya CRDB, Victor Makere akitoa mada katika mkutano wa wadau wa Utalii Zanzibar, uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip uwanja wa ndege Zanzibar.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.