Habari za Punde

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi yatua wagombea wa nafasi za uongozi

 TAARIFA KWA UMMA

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma.


Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wanachama watakaogombea nafasi za uongozi ndani ya CCM na Jumuiya zake katika ngazi ya Mkoa na Taifa kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82(1). Kwa upande wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za CCM ngazi ya Taifa walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-

 

 

NAFASI: MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1.  Farid Mohamed HAJI

2.  Kassim Haji KASSU

3.  Mohamed Ali MOHAMED (KAWAIDA)

4.  Abdallah Ibrahim NATEPE

 

 

NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA

1.  Khadija Khalid ISMAIL

2.  Dorice John MGETTA

3.  Victoria Charles MWANZIVA

4.  Rehema Sombi OMARY


NAFASI: MWENYEKITI UWT TAIFA

1.  Gaudentia Mugosi KABAKA

2.  Kate Sylvia KAMBA

3.  Dkt. Wemael Allen CHAMSHAMA

4.  Mariam Mohamed LULIDA

5.  Mary Pius CHATANDA

 

NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UWT TAIFA

1.  Latifa Nasser AHMED

2.  Thuwaybah Edington KISSASI

3.  Hafsa Said KHAMIS

4.  Zainab Khamis SHOMARI

 

NAFASI: MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1.  Dkt. CPA. Edmund Bernard MNDOLWA

2.  Fadhili Rajabu MAGANYA

3.  Bakari Nampenya KALEMBO

4.  Said Mohamed MOHAMED (DIMWA)

5.  Mwanamanga Juma MWADUGA

6.  Ally Maulid OTHMAN

7.  Ali Khamis MASUDI

8.  Hassan Haji ZAHARA

 

 

 

NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI WAZAZI TAIFA

1.  Haidar Haji ABDALLA

2.  Dkt. Wemael Allen CHAMSHANA

3.  Fatma Abeid HAJI

4.  Rachel Ntiganyigwa KABUNDA

5.  Neema George MTURO

6.  Zahoro Salehe MOHAMED

7.  Dogo Idd MABROUK

 

Uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya hizo kwa ngazi ya Taifa utafanyika tarehe 24-29 Novemba, 2022. Wagombea wote wanakumbushwa kuheshimu Kanuni za uchaguzi za CCM na misingi ya chama kwa kufanya siasa safi na kuzingatia maadili ya Chama wakati wote.


Aidha Orodha ya majina ya wagombea uongozi Chama na Jumuiya zake ngazi ya Mkoa yatatumwa katika mikoa husika.

 

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

 

Shaka Hamdu Shaka

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa

Itikadi na Uenezi.

13 Novemba, 2022

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.