Habari za Punde

KAMATI YA BUNGE YAPOKEA TAARIFA YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

 

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwasilisha taarifa ya nusu mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma leo Januari 17, 2023.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji Mhe. David Kihenzile akiongoza kikao cha kupokea taarifa ya nusu mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma

Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji na Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais pamoja na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (waliokaa nyuma) wakifuatilia kikao cha kupokea taarifa ya nusu mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma 
Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samuel Gwamaka akitoa ufafanuzi wa hoja wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya nusu mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma leo 
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi akifafanua jambo wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya nusu mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Mazingira na Uwekezaji katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma leo 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.