Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Mhe. Babu Juma Duni akiasalimiana na Makamu Mwenyekiti wa ACT -Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman , alipowasili katika viwanja vya Jimbo la Pangawe  kwa ajili ya mkutano wa hadhara .
Baadhi ya wananchi wamkimsikiliza mkutano wa act. uliohutubiwa na viongozi mbali mbali akiwemo mwenyekiti babu juma duni na mamaku mwenyekiti Mhe, OMO PAMNGAWE leo Disemba 16 (1)
Baadhi ya wananchi wamkimsikiliza mkutano wa act. uliohutubiwa na viongozi mbali mbali akiwemo mwenyekiti babu juma duni na mamaku mwenyekiti Mhe, OMO PAMNGAWE leo Disemba 16 (1)
 

 MAKAMU Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Othmna Masoud akizungunza katika mkutano wa hadhara huko viwanja vya bamgeni jimbo la Pangawe.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.