

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,akiwa katika mfululizo wa ratiba zake za kuzungumza na kila Wizara, katika kuhakikisha kila taasisi za wizara hiyo zinatekeleza majukumu yake.
Picha na Ramadhan Othman
No comments:
Post a Comment