Mara
baada ya kupata ardhi hii Ujenzi ukaanza
mara moja, katika harakati hizo Skuli imewekwa jiwe la msingi tarehe 9 -1 -2007
na aliekuwa Raisi wa Zanzibar Mh, Amani
A. Karume na ameifunguwa tarehe 18 -6-2010.
Skuli ina usajili No. 318.
Masomo yameanza rasmi tarehe 1 -02-2011.
Skuli imeanza na madaraza 9 kuanzia darasa la tano hadi la 14 (F.VI) chini ya Uongozi wa Nd. Zagu H. Zagu M/Mkuu wa kwanza.
Mwaka
jana 2011 kwa mara ya kwanza wanafunzi wetu walifanya mtihani wa Taifa wa F.IV.
Ingawa ulikuwa ni mwaka ambao watahiniwa wengi walifutiwa matokeo, lakini kwetu hakuwepo aliefutiwa. Matokeo yalikuwakama
yafuatayo:-
Ingawa ulikuwa ni mwaka ambao watahiniwa wengi walifutiwa matokeo, lakini kwetu hakuwepo aliefutiwa. Matokeo yalikuwa
DIV
- I hakuna, DIV – II hakuna, DIV – III
3, DIV –IV -39, DIV - 0 6, jumla W`ke 21
na W`ume 27 jumla 48 kwa watahiniwa wa Skuli
(
School candidates)
Watahiniwa
wa Private candidates Matokeo yalikuwa kama yafuatayo:-
DIV
– I hakuna , DIV – II hakuna, D – III
hakuna, DIV - IV 80, DIV – 0
18.
Pia
Skuli hii katika mwaka 2010 ilichukuwa wanafunzi wa darasa la F.V idadi yao 6
wanawake 3 na wanaume 3 na
kuendelea nao na masomo mpaka F.VI.
Mnamo
mwezi wa Februari 2011 walifanya mtihani wa Taifa, waliofaulu wanafunzi 4 wakiume 3 na wakike 1, watatu kati yao wamepata
sifa za kujiunga na Chuo mmoja, wakiume amepata cheti na wawili hawakufaulu hii inadhihirisha wazi namna skuli inavyojizatiti kuinua kiwango cha elimu na kuimarisha elimu visiwani na Tanzania kwa
jumla.
Hivi
sasa Skuli ina wanafunzi 452 W`ke 202 na
W`me 250, Walimu 24, W`ke 8, na W`me 16,
Kaimu Mw/Mkuu ni Ndugu Moh`d A. Mussa.
Wanafunzi wa F-IV ni 120 W`ke 54 na W`me 66, ambao wanatarajia kufanya mtihani wa
Taifa mwezi wa Oktoba 2012.
MATARAJIO.
Matarajio
yetu ni kama ifuatavyo:-
1. Kurejesha
usafiri wa wanafunzi ambao ulisimama
kutokana na tatizo la malipo suala ambalo tutalirekebisha baada ya kuonana na
wazee.
2. Kufanya
mchujo wa wanafunzi wanaoingia kidato cha nne ili kuondoa wingi wa wanafunzi wa
F.IV ambao hawana sifa.
3. Kurejesha
darasa la “A” Level kwa kuchukua wanafunzi wa kidato cha tano (F.V) mwakani
2013.
4. Kuandaa
vijana wetu katika matumizi ya lugha zaidi ya mazungumzo kwa kuanzisha kituo
cha mafunzo ya lugha mbali mbali zaidi ya kingereza. Katika kufundisha
tutatumia CDS, DVD pia kutakuwa na Discussion, debate n.k.
MWISHO
Tunakuomba Mama yetu, Mpenzi wetu, Dada yetu Mhe: Naibu Waziri WEMA
BI ZAHRA ALI HAMAD uwe mlezi wa
Skuli
hii.
This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteSalaam
ReplyDeleteNaomba hizi takwimu ziwekwe sawa hapa. Habari inasema
"Mwaka 2011 wanafunzi waliofanya mtihani wa F4 walikuwa 146.
Matokeo yalikuwa kama yafuatayo:-
DIV - I hakuna, DIV – II hakuna, DIV – III 3, DIV –IV -39, DIV - 0 6, jumla W`ke 21 na W`ume 27 jumla 48
Sasa wanafunzi waliofanya mtihani ni 146 au 48?
Hii taarifa tulipewa na Uongozi wa Skuli hata hivyo baada ya kuipitia kwa kituo kweli inahitajia marekebisho. Hivyo tumeondoa kipengele ambacho kina mushkeli katika idadi ya wanafunzi.
ReplyDeleteAhsante mdau kwa kutanabahisha