WAFANYAKAZI wa Duka la Kabadilishia Fedha za Kigeni la
Bahari lilioko mtaa wa Mchangani ambalo limepata ajali ya moto iliosababishwa na hitilafu za umeme, uliotokea asubuhi na wananchi kufanikiwa kuuzima moto huo kwa nguvu za wanananchi na wafanyakazi wa duka hilo,Katika moto huo hakuna Mtu ambaye amejeruhiwa katika ajali hiyo na hakukuwa na uharibifu wa mali, wakifanya usafi ili kufanya marekebisho na kuendelea na kutowa huduma kwa wateja wake.
Airtel Africa Foundation Washirikiana na ITU, RISA na Cisco Kukuza
Maendeleo ya Ujuzi wa Kidijitali Nchini Rwanda
-
Kigali, Rwanda – Oktoba 24, 2025:
Airtel Africa Foundation imeingia katika ushirikiano wa pamoja na Shirika
la Kimataifa la Mawasiliano (ITU), Mamlaka ...
22 minutes ago

No comments:
Post a Comment