WAFANYAKAZI wa Duka la Kabadilishia Fedha za Kigeni la
Bahari lilioko mtaa wa Mchangani ambalo limepata ajali ya moto iliosababishwa na hitilafu za umeme, uliotokea asubuhi na wananchi kufanikiwa kuuzima moto huo kwa nguvu za wanananchi na wafanyakazi wa duka hilo,Katika moto huo hakuna Mtu ambaye amejeruhiwa katika ajali hiyo na hakukuwa na uharibifu wa mali, wakifanya usafi ili kufanya marekebisho na kuendelea na kutowa huduma kwa wateja wake.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment