Wafanyabiashara katika kituo cha Daladala darajani wamekuwa kero kwa abiria wanaotumia kituo hicho kutokana na kuvamia eneo kubwa la kituo hicho kwa kupanga bidhaa zao chini na kwenye meza.inakuwa shida kwa watumiaji hao na magari ya abiria yanayotumia kituo hicho kama inavyoonekana hali halisi ya kituo hicho katika picha. Taasisi husika inabidi kuchukuwa hatuwa ya kuondoa tatizo hili kwa wakati muafaka ili kutowa nafasi kwa abiria kuwa katika hali ya usalama zaidi na vurugu hizo.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment