Wafanyabiashara katika kituo cha Daladala darajani wamekuwa kero kwa abiria wanaotumia kituo hicho kutokana na kuvamia eneo kubwa la kituo hicho kwa kupanga bidhaa zao chini na kwenye meza.inakuwa shida kwa watumiaji hao na magari ya abiria yanayotumia kituo hicho kama inavyoonekana hali halisi ya kituo hicho katika picha. Taasisi husika inabidi kuchukuwa hatuwa ya kuondoa tatizo hili kwa wakati muafaka ili kutowa nafasi kwa abiria kuwa katika hali ya usalama zaidi na vurugu hizo.
REA YAWASHA UMEME KWENYE SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI MTWARA
-
Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa nyakati tofauti wamewasha
umeme katika Shule ya Msingi Julia Wilayani Newala na Shule ya Sekondari
Mbawal...
46 minutes ago

No comments:
Post a Comment