Wananchi wa Zanzibar wakijitokeza katika Ofisi za ZBC kujipatia Vingamuzi vya Digital vya ZBC vinavyouzwa katika majengo la Rahaleo katika kituo cha Digital, tayari huduma hiyo inapatikana kwa wananchi waliopnunua vingamizi hivyo.kama Wananchi walivyokutwa na mpiga picha akishuhudia mauzo hayo yakifanyika. kwa kijaza fomu maalum kwa wateja wa ZBC
ASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2,
2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya
kulitum...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment