Wadau wa mji wa Chakechake Pemba wakiwa katika harakati za mchana kutafuta mahitaji yao katika mji huo, ni maarifuu kwa wageni wanaotembelea Pemba hufika katika mjii huu kwa mahitaji yaomkutokana na uchangamfu wake na ukarimu wa Watu wa Chakechake.
ZOEZI LA UTOAJI CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO LAANZA RASMI MKOANI MANYARA
-
-Mifugo 400 yachanjwa na kutambuliwa Mkoani Manyara.
-Wafugaji wamshukuru Dkt. Samia kwa Ruzuku ya Chanjo za Mifugo.
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na U...
1 hour ago
Nice views ya kisiwa cha marashi ya karafuu):
ReplyDeleteahsanteni sana kwa kutuwekea picha za zanzibar islands
wenzenu tuko mbali tumeondoka huko miaka 15 iliyopita
tunaona raha sana kuona picha kama hizi za nyumbani
Mdau
Canada