Wadau wa mji wa Chakechake Pemba wakiwa katika harakati za mchana kutafuta mahitaji yao katika mji huo, ni maarifuu kwa wageni wanaotembelea Pemba hufika katika mjii huu kwa mahitaji yaomkutokana na uchangamfu wake na ukarimu wa Watu wa Chakechake.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
5 hours ago
Nice views ya kisiwa cha marashi ya karafuu):
ReplyDeleteahsanteni sana kwa kutuwekea picha za zanzibar islands
wenzenu tuko mbali tumeondoka huko miaka 15 iliyopita
tunaona raha sana kuona picha kama hizi za nyumbani
Mdau
Canada