Wadau wa mji wa Chakechake Pemba wakiwa katika harakati za mchana kutafuta mahitaji yao katika mji huo, ni maarifuu kwa wageni wanaotembelea Pemba hufika katika mjii huu kwa mahitaji yaomkutokana na uchangamfu wake na ukarimu wa Watu wa Chakechake.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Ameongoza Kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Mazishi ya Viongozi
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 09, 2025 ameongoza Kikao cha Kamati ya
Kitaifa ya Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu
Mstaa...
9 minutes ago
Nice views ya kisiwa cha marashi ya karafuu):
ReplyDeleteahsanteni sana kwa kutuwekea picha za zanzibar islands
wenzenu tuko mbali tumeondoka huko miaka 15 iliyopita
tunaona raha sana kuona picha kama hizi za nyumbani
Mdau
Canada