Habari za Punde

Mzee Aboud Jumbe wakati wa Utawala wake


2 comments:

  1. shehe jumbe amerudi kwa mola miaka mingi tu msinasabishe na mambo ya muungano wala mapinduzi ,

    ReplyDelete
  2. na ni shujaa wa kwanza na wa kweli alieweza kumkabili dikteta nyerere kudai uhuru wa znz , tumebakia kutawaliwa na vibaraka sasa , yeye alilazimishwa kujiuzulu na alikubali hilo hakujali madaraka wala utawala kwa kutetea maslahi ya znz , lakini viongozi wenzake wanaojidai wana uchungu na znz walikaa kimyaa tuliii kama maji ya mtungi mpaka leo hii

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.