WANANCHI WAASWA KUTUMIA NAMBA YA MALIPO WANAPOLIPIA HUDUMA ZA SERIK
-
Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na TEHAMA wa
Wizara ya Fedha, Bw. Charles Maganga (kulia), akitoa maelezo kuhusu umuhimu
wa...
11 minutes ago
shehe jumbe amerudi kwa mola miaka mingi tu msinasabishe na mambo ya muungano wala mapinduzi ,
ReplyDeletena ni shujaa wa kwanza na wa kweli alieweza kumkabili dikteta nyerere kudai uhuru wa znz , tumebakia kutawaliwa na vibaraka sasa , yeye alilazimishwa kujiuzulu na alikubali hilo hakujali madaraka wala utawala kwa kutetea maslahi ya znz , lakini viongozi wenzake wanaojidai wana uchungu na znz walikaa kimyaa tuliii kama maji ya mtungi mpaka leo hii
ReplyDelete