Blogger Cathbet Kajuna akiwa katika harakati za kupata picha wakati akiwa katika ziara ya kutembelea miradi ya Mfuko wa Pensheni wa PFPS, akiwa katika moja ya jengo jipya ya Mfuko huo, lilioko katikati ya Mji wa Dar. Hivi ndivyo blogger wanavyohanti na kupata matukio bila ya kujali hii ni sehemu hatari
WANANCHI WAHIMIZWA KUHAMA MAENEO HATARISHI
-
NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
Wananchi wamehimizwa kuendelea kuchukua tahadhari na kuondoka katika maeneo
hatarishi yenye viashiria vya kuathiriwa na maafa ili ...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment