Maeneo ambayo yamechimbwa mawe na Kifusi katika Wilaya ya Micheweni Pemba, na Kampuni zinazo tengeneza Barabara kisiwani humo na kushindwa kurejesha Udongo katika mashimo hayo na kusababisha uharibifu wa Mazingira kwa Wananchi na mifugo yao. Picha na Maryam Salim -Pemba.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment