Mwenyekiti wa Jumuiya ya ZAYEDESA Mama
Shadya Karume akimkabidhi Mashine za
kuchunguzia Magonjwa ya Macho,
Mkurugenzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Dk Jamal Adam Twaib.
Mashine hizo mbili
za kisasa za kufanyika uchunguzi wa jicho kwa ndani zimetolewa na jumuiya hiyo
ya ZAYEDESA pamoja na Taasisi ya Mr Amir Ismail wa Ali’s Child Foundation ya
Canada kwa Hospitali ya Mnazi Mmojakatika
kitengo cha Macho Zanzibar
No comments:
Post a Comment