Habari za Punde

Watoto waaswa kutojiingiza katika siasa

 MWENYEKITI wa baraza la watoto shehia ya mjini ole wilaya ya Wete, Hafidhi Mustafa akisoma risala ya baraza lake, mbele ya rais wa mabaraza ya watoto Tanzania nzima ambaye hayupo picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MRATIB wa shirika la Save The Children kisiwani Pemba, Said Khamis Hamad, akizungumza na wajumbe wa mabaraza ya watoto kisiwani Pemba, juu ya kutokujiingiza katika mambo ya siasa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.