Kamati ya Wadi za Makunduchi na Wajumbe wa Manispaliti ya Sundsvall wakutana na Viongozi wa FAWE Zanzibar kwa lengo la kutafuta uwezekano wa kuanzisha mradi wa FAWE katika skuli za Makunduchi. Ujumbe huo wa Sundsvall ulifuatana pia na wanafunzi wa kidato cha sita ambao wameanzisha uhusiano na skuli ya Kusini. Kutoka kushoto waliosimama ni Mwalimu Mwita Masemo, Mratibu wa Uhusiano Ndg.Mohamed Muombwa na 'Senior Citizen' wa Makunduchi Ndg. Hafith Ameir.
NEMC yashiriki maonyesho ya miaka 60 ya Muungano.
-
-Yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya
watu wanaojenga ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment