Kamati ya Wadi za Makunduchi na Wajumbe wa Manispaliti ya Sundsvall wakutana na Viongozi wa FAWE Zanzibar kwa lengo la kutafuta uwezekano wa kuanzisha mradi wa FAWE katika skuli za Makunduchi. Ujumbe huo wa Sundsvall ulifuatana pia na wanafunzi wa kidato cha sita ambao wameanzisha uhusiano na skuli ya Kusini. Kutoka kushoto waliosimama ni Mwalimu Mwita Masemo, Mratibu wa Uhusiano Ndg.Mohamed Muombwa na 'Senior Citizen' wa Makunduchi Ndg. Hafith Ameir.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment