AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed akielezea jinsi kituo
hicho kinavyotoa huduma za kisheria, wakati wa mafunzo ya haki za binadamu
yaliofanyika kituoni hapo mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WASHIRIKI wa mafunzo wa haki za binadamu ambao
ni watu wanaoishi na virusi vya ukimwi Pemba, wakisikiliza utoaji wa mada
kwenye mafunzo hayo yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC
tawi la Pemba, na kufanyika mjini Chake chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MRATIBU wa Tume ya ukimwi Pemba ZAC Nassor
Ali Abdalla akifungua mafunzo ya siku mbili ya haki za binadamu kwa watu
wanaoishi na virusi vya ukimwi ZAPHA+ kulia ni Afisa Mipango wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLASC na kushoto ni mfanyakazi wa kituo hicho Asya Awadhi
Ahmed, (Picha na haji Nassor, Pemba).
AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Khalfan Amour Mohamed, akiwasilisha mada ya haki za
binadamu kwenye mafunzo yaliowashirikisha watu wanaoishi na VVU Pemba, mafunzo
yaliofanyika mjini Chakechake, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
MWANACHAMA wa Jumuia ya watu wanaoishi na VVU Pemba Fatma
Said Rashid akiuliza suali kwenye mafunzo ya haki za binadamu yalioandaliwa na
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba na kufanyika afisini kwao
mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassot,
Pemba).
MSHIRIKI wa mafunzo ya haki za binadamu Sabri
Issa, akiuliza suali kwenye mafunzo hayo yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba na kufanyika afisini kwao mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassot, Pemba).
No comments:
Post a Comment