BIASHARA ya madafu imekuwa maarufu visiwani,
ingawa aina ya minazi inayoangushwa madafu sio ile maalumu jambo ambalo
limetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kupanda kwa bei ya nazi ingawa pia sababu
nyengine ni kukatwa, pichani mzee wa Mkanyageni akiwahudumia wateja wake , (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment