BIASHARA ya madafu imekuwa maarufu visiwani,
ingawa aina ya minazi inayoangushwa madafu sio ile maalumu jambo ambalo
limetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kupanda kwa bei ya nazi ingawa pia sababu
nyengine ni kukatwa, pichani mzee wa Mkanyageni akiwahudumia wateja wake , (Picha na Haji Nassor, Pemba).
DK.SAMIA AFUATILIWA NA WATU MARA MILIONI 164.9 WAKATI WA KAMPENI
-
*Atembea kilometa za mraba 947,403 kwa kutembea mikoa yote nchini
*Kihongosi asema CCM imeweka rekodi ya mahudhurio katika
*Kesho ndio funga kazi ik...
33 minutes ago

No comments:
Post a Comment