KOCHA wa timu wa timu ya Shaba ya Kojani inayoshiriki ligii kuu ya Zanzibar Ali Dau akizungumza na mwandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM Is-haka Mohamed Rubea mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu Zanzibar kanda ya Pemba uwanja wa Gombani ambapo Shaba illala kwa mabao 7-1 (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TAASISI YA ELIMU TANZANIA YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU MTAALA ULIOBORESHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yaendelea kutoa elimu kwa wadau
waliojitokeza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba
kuhusu maboresho yali...
2 hours ago
Assalamu Alaykum!! Sasa jamani hii timu ya Shaba imecheza na nani!!
ReplyDelete