Habari za Punde

Taswira kutoka mkutano wa baraza kuu la 71 la Umoja wa Mataifa

 Waziri  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa  Afrika Mashariki akiwa katika  Mkutano wa Mawaziri wa  Nje wa  nchi za Jumuiya ya Madola.
 Waziri  Mahiga akibadilishana  mawazo na   Waziri wa  Mambo  ya Nje wa  Sultanate of Oman, Bw. Yusuf bin Alawi bin Abdullah
 Waziri katika Mazungumzo na  Waziri wa  Mambo ya Nje wa Kuwaiti, Bw Sabah Al KHalid Ala Sabah
 Waziri Mahiga  alipoongoza kikao  cha Troika ya  SADC
 Waziri  Mahiga akibadilishana  mawazo na   Waziri wa  Mambo  ya Nje wa  Sultanate of Oman, Bw. Yusuf bin Alawi bin Abdullah
Waziri alipokutana na kufanya mazungumzo na  Naibu  Waziri Mkuu na Waziri wa  Ushirikiano wa Maendeleo wa Belgium   Bw. Alexander De Croo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.