Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa katika Mkutano wa Mawaziri wa Nje wa nchi za Jumuiya ya Madola.
Waziri Mahiga akibadilishana mawazo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sultanate of Oman, Bw. Yusuf bin Alawi bin Abdullah
Waziri katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwaiti, Bw Sabah Al KHalid Ala Sabah
Waziri Mahiga alipoongoza kikao cha Troika ya SADC
Waziri Mahiga akibadilishana mawazo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sultanate of Oman, Bw. Yusuf bin Alawi bin Abdullah
Waziri alipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Belgium Bw. Alexander De Croo
No comments:
Post a Comment