Habari za Punde

Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Chatowa Elimu ya Katiba Kwa Wananchi.Katika Kijiji cha Ngwachani.

Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akimkabidhi nakala ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, Meneja wa Kampuni ya Jufe, Said Negro, mara baada kuuliza swali, kwenye mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo hicho na kufanyika skuli ya Ngwachani Wilaya ya Mkoani Pemba
MWANANCHI wa shehia Ngwachani wilaya ya Mkoani, kisiwani Pemba, akiuliza swali kwenye mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya Ngwachani
WANANCHI wa shehia ya Ngwachani wilaya ya Mkoani, wakifuatilia mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika jengo skuli ya Ngwachani wilayani humo
MRATIBU wa Kituo cha Huduma Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akiwaeleza wananchi njia sahihi za kuisoma katiba, kwenye mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo hicho, na kufanyika skuli ya Ngwachani,
WANANCHI wa shehia ya Ngwachani wilaya ya Mkoani, wakifuatilia mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika jengo skuli ya Ngwachani wilayani humo(Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.