Wajumbe wa kamati ya
Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii ya baraza la wawakilishi, wakiangalia
mitambo ya Kisasa ya ZBC TV huko mkoroshoni, wakati wa ziara yao ya kutembelea
taasisi mbali mbali za zilizomo chini ya Wizara ya Habari
Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Zanzibar (ZBC TV ) Kituo cha Pemba, wakiwa katika harakati za kutayarisha habari za Pemba, kwa
lengo la kuzituma ZBC TV Unguja.
Moja ya Studio za kurushia matangazo ya kisasa ya ZBC TV kituo cha Pemba, baada ya kufanyiwa
matengenezo makubwa na kukwa vifaa vya kisasa katika kituo hicho
Waziri wa Habari Utalii,
Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe.Rashid Ali Juma akiwakaguza maeneo ya kituo cha
TV Pemba, wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii ya
Baraza la Wawakilishi Zanzibar, wakati wa ziara ya wajumbe hao Pemba
Mratibu wa ZBC TV
Pemba, Khamis Ali akisoma taarifa ya kituo cha TV kwa wajumbe wa kamati ya
Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii, wakati walipotembela kituo hicho ZBC
TV Mkoroshoni Chake Chake Pemba
MWENYEKITI wa kamati ya Maendeleo ya Wanawake, Habari na Utalii
ya baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ali Suleiman Shihata akiangalia ramani ya
ujenzi wa jingo la ZBC TV, kushoto ni Makamu Mwenyekiti wake Salha Mohammed
Mwinjuma na Kulia ni Naibu waziri wa Habari Zanzibar Chumu Kombo Khamis.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment