Mfanyabiashara katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Zanzibar akiwa katika harakati za kupanga mafungu ya viazi vitamu na majimbo katika Soko la Mwanakwerekwe, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati hiyo, fugu moja anauza kati ya shilingi 2000/= na 5000/=.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment