Mfanyabiashara katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Zanzibar akiwa katika harakati za kupanga mafungu ya viazi vitamu na majimbo katika Soko la Mwanakwerekwe, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati hiyo, fugu moja anauza kati ya shilingi 2000/= na 5000/=.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment