Mfanyabiashara katika Soko Kuu la Mwanakwerekwe Zanzibar akiwa katika harakati za kupanga mafungu ya viazi vitamu na majimbo katika Soko la Mwanakwerekwe, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati hiyo, fugu moja anauza kati ya shilingi 2000/= na 5000/=.
Wachambuzi: Vijana Watumie Mitandao kwa Uzalendo Kulinda Amani Kuelekea
Uchaguzi
-
Na Rahel Pallangyo, Dar es Salaam
WACHAMBUZI wa masuala ya siasa, diplomasia na maendeleo wamewataka vijana
na wananchi kwa ujumla kutumia mitandao y...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment