MKURUGENZI
Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (zssf) Bi. Sabra Issa Machano
kulia akimkabidhi msaada wa Vifaa vya Usafi Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe
Harusi Said Suleima (katikati) na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi.
Halima Maulid, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Hospitali ya Wazazi Mnazi
mmoja Zanzibar, ikiwa na sherehe za kutimia miaka 20 ya ZSSF
MKURUGENZI
Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhui ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Bi. Sabra Issa
Machano (kulia) akimkabidhi mashuka Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar
Mhe. Harusi Said Suleiman , ZSSF imekabidhi vitanda 13 na mashuka yake na vifaa
vya usafi kwa hospitali hiyo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 20 ya kuazishwa kwa
mfuko huo, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Hospitali hiyo Mnazi Mmoja
Zanzibar
No comments:
Post a Comment