Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Sheria Duniani Kuadhimishwa Kisiwani Pemba

Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar Mhe.Mohammed Ali Mohammed, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Kisiwani Pemba kuhusiana na kukamulika kwa maandalizi Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Sheria Duniani, inayotarajiwa kuadhimishwa Kisiwani Pemba, Kitaifa mwaka huu..
Baadhi ya Watendaji wa Mahakama Chake Chake, wakiwa katika mkutano maalumu wa Mrajis wa Mahakama kuu Zanzibar , Mohammed Ali Mohammed, na Waandishi wa habari Kisiwani Pemba , juu ya maandalizi ya sherehe ya siku ya sheria Duniani inayotarajiwa kufanyika Kisiwani Pemba kwa Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali Kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini Mrajis wa Mahakama kuu Zanzibar.Mhe.Mohammed Ali Mohammed , juu ya maandalizi ya siku ya Sheria Duniani inayotarajiwa kufanyika Kisiwani Pemba sambamba na maonesho ya Shughuli za Mahakama.
Picha na Hanifa Salim -Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.