Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL Inayosambaza mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, wakiendelea na uwekaji wa mabomba hayo mapya katika maeneo mbali mbali katika Mji wa Unguja. Kama walivyokutwa na Kamera yetu wakiwa katika mitaa ya maruhubi wakiweka mabomba hayo kuelekea bububu. kama wanavyoonekana pichani.
Ufungaji wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Chumbuni Zanzibar
Viwanja vya Avenja
-
Shamrashamra za ufungaji wa mkutano ya Kampeni wa Chama Cha Mapiduzi (CCM)
za Ubunge,Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Chumbuni Zanzibar , kwa onesho la
Uta...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment