Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL Inayosambaza mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, wakiendelea na uwekaji wa mabomba hayo mapya katika maeneo mbali mbali katika Mji wa Unguja. Kama walivyokutwa na Kamera yetu wakiwa katika mitaa ya maruhubi wakiweka mabomba hayo kuelekea bububu. kama wanavyoonekana pichani.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment