NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Khadija Shamte (wa pili
kulia) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Halima Maulid Salum
msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja mjini
Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN
NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Khadija Shamte (wa tatu
kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Halima Maulid Salum
msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja mjini
Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Halima Maulid Salum akizungumza katika hafla
ya kupokea msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 85
vilivyotolewa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa Hospitali za Unguja.(PICHA
NA HAROUB HUSSEIN).
NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Khadija Shamte(wa pili
kulia) akizungumza katika hafla ya kutoa utoaji msaada wa vifaa mbalimbali kwa
Hospitali za Unguja, vifaa hivyo vina thamani ya shilingi milioni 85.(PICHA NA
HAROUB HUSEIN).
NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Khadija Shamte (watatu
kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Halima Maulid Salum msaada wa vitanda na mashuka kwa ajili ya
Hospitali mbalimbali za Unguja , makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali
Kuu ya Mnazimmoja mjini Unguja.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
No comments:
Post a Comment