Habari za Punde

Mgiombea Urais wa Chama Cha ADA-TADEA Mhe. Juma Ali Khatib Achukua Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar ZEC leo.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Hamid Mahmoud Hamid (kushoto) akimkabidhi fomu ya kuwania Urais  wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA TADEA Mhe Juma Ali Khatib alipofika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Jijini Zanzibar kwa ajili ya uchukua wa fomu hiyo leo.
Mgombea Urais kupitia Chama cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali walioko Zanzibar baada ya kumaliza zoezi la uchukuaji wa Fomu katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Maisara Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.