Habari za Punde

Breaking News Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Amefanya Uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee.

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 66 cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar :-

1.Mheshimiwa Saada Mkuya Salum

2.Mheshimiwa Tabia Maulid Mwita

3.Mheshimiwa Juma  Ali  Khatib

4.Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdalla

Uteuzi huo umeanza leo tarehe 07 Novemba 2020.

Aidha Viongozi hawa waliotajwa wanatakiwa waripoti Baraza la Wawakilishi Zanzibar kesho tarehe 08 Novemba, 2020 saa 6.00 mchana.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.