Habari za Punde

Mkutano ya uhamasishaji jamii juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao za uongozi

MHAMASISHAJI jamii Siti Habibu Mohamed, akiwasilisha mada kwa wananchi wa Shehia ya Muwambe, juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao za uongozi katika ngazi zote za mamuzi, mkutano ulioandaliwa na Jumuiya ya PEGAO kupitia mradi wa Ushirikishaji wanawake katika Uongozi unaotekelezwa na TAMWA Zanzibar, ZAFELA chini ya ufadhili wa ubalozi wa Norway Tanzania.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI wa Jumuiya ya PEGAO Kisiwani Pemba, Hafidhi Abdi Said akizungumza na wananchi wa shehia ya Muwambe, katika mkutano ya uhamasishaji jamii juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao za uongozi, kupitia mradi wa Ushirikishaji wanawake katika Uongozi unaotekelezwa na PEGAO,TAMWA Zanzibar na ZAFELA chini ya ufadhili wa ubalozi wa Norway Tanzania.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WANANCHI wa Shehiya ya Uwandani Wilaya ya Chake Chake, wakifuatilia kwa makini mkutano wa uhamasishaji jamii juu ya kuwajengea uwezo wanawake kudai haki zao za uongozi, kupitia mradi wa Ushirikishaji wanawake katika Uongozi unaotekelezwa na PEGAO,TAMWA Zanzibar na ZAFELA chini ya ufadhili wa ubalozi wa Norway Tanzania.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.