Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment