Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
ELIMU, HAMASA NA UWEZESHWAJI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WASHIKA
KASI MTWARA
-
-Wananchi waipokea kwa kishindo
-Klabu za Nishati Safi ya Kupikia zaanzishwa mashuleni
-Walimu na Wanafunzi waipongeza REA waahidi kuwa mabalozi
-Lengo if...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment