Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Mkoani Kilimanjaro leo Oktoba 14,2021, akitokea Mkoani Geita.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment