Rais wa Afrika Kusini Mhe. Ramaphosa akijumuika na Marais wa Nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakikata utepe kuashiria kuyafungua Maonesho ya Biashara ya Nchi za Afrika yanayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ICC Darban Jijini Darban Afrika Kusini.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment