Rais wa Afrika Kusini Mhe. Ramaphosa akijumuika na Marais wa Nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakikata utepe kuashiria kuyafungua Maonesho ya Biashara ya Nchi za Afrika yanayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ICC Darban Jijini Darban Afrika Kusini.
TPDC YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO NA UPIMAJI WA AFYA BURE -SONGOSONGO
-
Songosongo, Kilwa — Oktoba 25, 2025
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kudhihirisha
dhamira yake yakuimarisha mahusiano na jamii k...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment