Rais wa Afrika Kusini Mhe. Ramaphosa akijumuika na Marais wa Nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakikata utepe kuashiria kuyafungua Maonesho ya Biashara ya Nchi za Afrika yanayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ICC Darban Jijini Darban Afrika Kusini.
Rais Dk Hussein Mwinyi aagana na Mabalozi walioteuliwa karibuni
-
Baadhi ya Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika Nchi mbali
mbali Duniani wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment