Habari za Punde

Wadhamini wa Michuano wa Kombe la Mapoinduzi Wakabidhiwa Vyeti vya Shukrani Kwa Mchango Wao.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha shukrani Afisa Mkuu Rasilimali Watu Benki wa Benki ya NMB Bw.Emmanuel Akonay, kwa kudhamini Michuano ya Kombe la Mapinduzi, kwa mchango wao kufanikisha michuano hiyo, hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku 13-1-2022, wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Azam Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha shukrani Mwakilishi wa Kampuni ya Azam, kwa kudhamini Michuano ya Kombe la Mapinduzi, kwa mchango wao kufanikisha michuano hiyo, hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku 13-1-2022, wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Azam Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha shukrani Mdhamani wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Mwenyekiti wa Kampuni ya ZAT Bw. Mohammed Raza Daramsi, kwa mchango wake kufanikisha michuano hiyo, hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku 13-1-2022, wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Azam Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha shukrani Mwakilishi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kudhamini Michuano ya Kombe la Mapinduzi, kwa mchango wao kufanikisha michuano hiyo, hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku 13-1-2022, wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup kati ya Simba na Azam Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha shukrani Mwakilishi wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa Udhamini wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi,kwa mchango wao kufanikisha michuano hiyo, hafla hiyo iliyofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku 13-1-2022, wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba na Azam Timu ya Simba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.