Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS KATIKA KILELE CHA WIKI YA UBUNIFU MAY 19

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akitembelea na kupata maelezo katika mabanda mbalimbali ya taasisi za serikali na binafsi zinazojihusisha na ubunifu na utafiti wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akitembelea na kupata maelezo katika mabanda mbalimbali ya taasisi za serikali na binafsi zinazojihusisha na ubunifu na utafiti wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimkabidhi hundi ya shilingi milioni tano mshindi wa ubunifu Arqhm Isihaka Adam kutoka Shule ya Msingi Mikumi Mpya Morogoro aliyebuni kengele ya nyumbani inayotumia sauti na mwanga kwaajili ya watu wote ikiwemo wenye mahitaji maalum  wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 19 Mei 2022. Kushoto ni Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa, kulia ni Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza mtoto Ethan Kaganda aliyebuni mfumo wa kutoa taarifa iwapo wanafunzi zaidi ya mmoja wameingia katika choo kimoja kwa wakati mmoja ili kuepusha wenye nia ovo wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza mtoto Tanya Gorecha aliyebuni aliyebuni mifumo mbalimbali ya umeme wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na washiriki pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa kwa Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.