Habari za Punde

Ziara ya Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Mkoani Singida Wilaya ya Iramba

Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa kituo cha Afya cha Mtoa, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida. Julai 16, 2022.
Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Iramba, baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa kituo cha Afya cha Mtoa, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.

Muonekano wa mradi wa kituo cha Afya cha Mtoa, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida
kuu Kassim Majaliwa akifungua bomba la maji wakati alipokagua mradi wa maji Misigiri, uliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida.

Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia tanki la kuhifadhia maji wakati alipokagua mradi wa maji Misigiri, uliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida. Julai 16, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.