RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasalimia Wananchi wa mitaa ya muembemimba akiwa katika Matembezi ya Kuhamasisha
Upimaji wa Moyo “Tembea na JKCI Linda Afya ya Moyo Wako” na Kufunga Kambi ya
Upimaji wa Moyo iliyofanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Unguja Jijini
Zanzibar kuazia 23 - 27, Januari 2023, matembezi hayo yaliyoazia katika viwanja
vya Maisra Suleiman na kumalizikia katika Uwanja wa Amaan Unguja leo 28-1-2023,
na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI.Dkt.Peter Kisenge.
MKUU WA WILAYA SAME AIHIMIZA WANANCHI KUTUNZA VYANZO VYA MAJI,KUPANDA MITI
-
Na Mwandishi Wetu,Same
MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewahimiza
wananchi kuhakikisha wanatunza vyanzo vya maji kwa kutunza m...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment