RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasalimia Wananchi wa mitaa ya muembemimba akiwa katika Matembezi ya Kuhamasisha
Upimaji wa Moyo “Tembea na JKCI Linda Afya ya Moyo Wako” na Kufunga Kambi ya
Upimaji wa Moyo iliyofanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Unguja Jijini
Zanzibar kuazia 23 - 27, Januari 2023, matembezi hayo yaliyoazia katika viwanja
vya Maisra Suleiman na kumalizikia katika Uwanja wa Amaan Unguja leo 28-1-2023,
na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI.Dkt.Peter Kisenge.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment