Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Awasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025/26

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha Hotuba  ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025 - 2026, bungeni jijini Dodoma.
Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, wakifuatilia Hotuba  ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025 - 2026, bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha Hotuba  ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge 2025 - 2026, bungeni jijini Dodoma, Aprili 9, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.