Mradi wa kuweka tartan Uwanja wa Gombani Pemba wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 40, 000 kwa sasa umemalizika kama inavyoonekana katika picha. Tartan hiyo iliwekwa kwa msaada wa serikali ya China.
ATCL YAINGIA MAKUBALIANO KUPELEKA MARUBANI KUFUNDISHA NA KUSIMAMIA NDEGE
MPYA NCHINI NIGERIA
-
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani
wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege
ya I...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment