Mradi wa kuweka tartan Uwanja wa Gombani Pemba wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 40, 000 kwa sasa umemalizika kama inavyoonekana katika picha. Tartan hiyo iliwekwa kwa msaada wa serikali ya China.
Polisi waendelea kuwabana wanavunja Sheria, Wananchi waomba operesheni 3D
iendele.
-
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha.
Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya
kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoe...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment