Habari za Punde

Waziri Aboud azindua Pasipoti za kielektroniki kisiwani Pemba

 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohammed Aboud Mohammed akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha IT idara ya Uhamiaji Pemba, juu mfumo mzima wa upatikanaji wa Paipoti za Kieletroniki, wakati wa uzinduzi wa mtambo wa Paspoti hizo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed, akishuhudia zoezi la upigaji wa picha kwa mmmoja ya mwananchi aliyefika katika Ofisi za uhamiaji Chake Chake kuomba Pasipoti za Kieletroniki, wakati wa uzinduzi wa mtambo wa Paspoti hizo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud Mohamed, akishuhudia zoezi la utiaji watu wa kuomba hati ya kusafiria ya kieletroniki, wakati wa uzinduzi wa mtambo wa Paspoti hizo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa kitengo cha IT katika idara ya uhamiaji Chake Chake, wakati alipofika katika sehemu ya kuskani taarifa mbali mbali za mwananchi aliyeomba hati hiyo, wakati wa uzinduzi wa mtambo wa Paspoti hizo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 MAAFISA wa Idara ya Uhamiaji Kisiwani pemba, wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa mtambo wa Paspoti za Kieletroniki, mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 BAADHI ya wananchi waliokabidhia hati zao za kusafiri za kieletoniki, zilizotolewa na idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kusini Pemba, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mtambo wa Paspoti za kieletroniki.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WATENDAJI mbali mbali wa Serikali ya SMZ na SMT, wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa Mtambo wa Paspoti za Kieletroniki kwa mkoa wa kusini Pemba, zoezi lililofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KAMANDA wa idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kusini Pemba, Abdi Bulishi Juma akitoa taarifa juu ya Uwepo wa Mtambo wa Paspoti za Kieletroniki mkoa wa kusini Pemba, wakati wahafla ya uzinduzi wa mtambo huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 KAMISHNA wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar Johari Massoud Sururu, akizungumzia juu ya uwepo wa mtambo wa Paspoti za Kieletroniki, mkoa wa kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akionyesha moja ya Paspoti zake alizokabidhiwa za kieletroniki, mara baada ya Uzinduzi wa Mtambo wa Paspoti hizo Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed, akimkabidhi paspoti ya kieletroniki Mkuu wa Wilaya ya mkoani Issa Juma Ali, wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Mtambo wa Paspoti za Kieletroniki Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed, akimkabidhi paspoti ya kieletroniki Mwalimu na afisa huduma za wanafunzi kutoka Idara ya elimu maandalizi msiki Mkoa wa Kusini Pemba, Maisuni Suleiman Mohamed wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Mtambo wa Paspoti za Kieletroniki Mkoa wa Kusini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.