Habari za Punde

Mfuko wa Hifadhi ya Zanzibar ZSSF Wajumuika na Wazee Wanaoishi Nyumba za Wezee Limbani Wete Pemba.

WATENDAJI wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), wakipata futari maalumu waliyoandaa kwa ajili ya wazee waliopo katika nyumba ya Wazee Limbani Wete. SULEIMAN, PEMBA)
 MJUMBE wa Bodi ya ZSSF Zanzibar Seif Shaban Mwinyi, akipata futari maalumu waliowaandalia wazee waliopo katika nyumba ya Wazee Limbani Wete.
 WAWAKILISHI wa Maafisa wadhamini Kisiwani Pemba, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), kwa ajili ya wazee waliopo katika nyumba ya Wazee Limbani Wete.
MKURUGENZI mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Sabra Issa Machano, akipata futari maalumu waliowaandalia wazee wa wanaolelewa katika nyumba ya Wazee Limbani Wete.

 WATENDAJI wa mfuko wa Hifadhi wa Jamii Zanzibar (ZSSF) wakipata futari maalumu, walioandaa kwa ajili ya Wezee wanaoishi katika nyumba ya Wazee Limbani Wete.
WAZEE wanaoishi katika Nyumba ya Wazee Limbani Wete, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na kufanyika Limbani Wete.
 MJUMBE wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Seif Shaban Mwinyi, amkabidhi friji la wazee waliopo katika nyumba ya Wazee Limbani, Mkuu wa Idara ya Ustawi wa Jamii Pemba Abduu Salum Mohamed lililotolewa na ZSSF.
MKURUGENZI mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Sabra Issa Machano, akimkabidhi zawadi mmoja wa wazee wanaoishi katika nyumba ya Wazee Limbani Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.