Habari za Punde

NEC Kuweka Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Katika Vituo Walivyojiandikisha Wapiga Kura


Na,Mwandishi Wetu.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC inatarajia kuweka wazi Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Vituo vyote vilivyotumika katika uboreshaji wa Daftari la kudumula Wapiga Kura mwaka 2019 na 2020.
Akizungumza kupitia kipindi cha Redio ya CHUCHU FM Afisa kutoka Idara ya Elimu ya Mpiga Kura Bi.Salma Said Mohammed alisema zoezi hilo litafanyika kwa muda wa siku nne kuanzia tarehe 17 hadi 20/6/2020 ambapo vituo vyote vitafunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili (12) jioni kwa siku zote nne za zoezi hilo.

Afisa huyo alisema NEC inaweka wazi Daftari hilo kwa lengo la kutoa fursa kwa Wapiga Kura kuweza kuhakiki taarifa zao na kufanya marekebisho ya taarifa ikiwa taarifa hizo zimekosewa.

Bi.Salama alisema kuwa Mpiga Kura anaweza kwenda kwenye kituo kilichopangwa na Tume au anaweza kutumia huduma ya ujumbe mfupi kupitia mitandao yote ya simu za mkononi kwa kupiga namba *152*00# au kupiga moja kwa moja kituo cha huduma kwa mpiga kura (call center) kupitia na mba 0800112100 na kufuata maelekezo baada ya kupiga namba hizo.

Aidha, Bi Salama aliongeza kusema kuwa mpiga Kura anaweza kuhakiki taarifa zake kupitia tovuti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo ni www.nec.go.tz na kubonyeza sehemu ya kuhakiki na kufuata maelekezo.

Akifafanuamadakupitiakipindihicho cha RedioAfisakutokaIdarayaHabariyaTumehiyo MOSHI MAKUKA alielezakuwaWapiga Kura woteambaowalioandikishwakatikaDaftari la Kudumu la Wapiga Kura mwaka 2015 nawapigakurawaliondikishwawakatiwauboreshajiwaDaftari la Kudumuawamuya kwanza naawamuya pili kwamwaka 2019 na 2020ambaobadohawajahakikitaarifazaowatahusikakatikazoezihilo.
Bw. MakukaalifafanuakuwaWapiga Kura watakaohakikitaarifazaokwenyeDaftari la awalinakuonapichazaohazipowatatakiwakwendakatikaOfisizaHalmashauriiliwapigwepichanyenginenakupewakadi.
AfisaMakukaaliongezakusemakuwaMpiga Kura ambayeanatakakuwekapingamizidhidiyaMpigakuraambayehanasifazaKuwemokatikaDaftari la Kudumu la Wapiga Kura ataendakwenyekituokilichopangwakatikaHalmashaurihusikailiawezekuwekapingamizikwakujazafomumaalum 3B yakuwekapingamizihizo.
AlisemakuwakatikazoezihilohakutakuwanauandikishajiwaWapiga Kura WapyanahakutakuwanaUboreshajiwaTaarifazaWapiga Kura waliohamamaeneoyaoyaKiuchaguzi, waliopotezakadi au kadizaokuharibika.
Hatahivyo, TumeimezingatiatahadharizotezilizoelekezwanawataalamuwaAfyapamojanaViongoziwaSerikalikatikaKujikinganamaambukiziyaVirusivya CORONA katikavituovyotevilivyopangwakuwekawaziDaftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Zoezi la uwekajiwaziwaDaftari la Kuidumu la Wapiga Kura linafanyikaikiwanihatuamojawapoyamatayarishoyaUchaguziMkuuwamwaka 2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.